KAMPENI MPYA TCB YALETA MAPINDUZI MAPYA YA KIBENKI
Kampeni mpya TCB yaleta mapinduzi mapya ya kibenki. Katika kuelekea kukuza uchumi wa kati na kuimarisha kipato cha mwananchi mmoja mmoja, sekta ya fedha nchini Tanzania imekuwa na mabadiliko makubwa. Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imechukua hatua madhubuti kwa kuzindua kampeni kabambe inayolenga kuwaunganisha Watanzania na ndoto zao. Kiini cha kampeni hii ni kutoa suluhisho…
