BRELA NA WIPO WAINUA SEKTA YA KILIMO
Brela na Wipo wainua sekta ya Kilimo.Ukuaji wa sekta ya kilimo na ufugaji nchini Tanzania unategemea kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa mbinu za kisasa na gharama nafuu za uzalishaji. Katika hatua kubwa inayolenga kuleta mapinduzi ya kiuchumi kwa wakulima wa vijijini na mijini, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), kwa kushirikiana na Shirika…
