TANZANIA NA RWANDA KUIMARISHA UCHUMI WA NCHI
Tanzania na Rwanda kuimarisha uchumi wa nchi. Tanzania na Rwanda kwa muda mrefu zimekuwa na uhusiano wa kidiplomasia unaojengwa juu ya misingi ya ujirani mwema, biashara, na ushirikiano wa kimkakati. Katika hatua nyingine muhimu ya kuimarisha uhusiano huu, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa ushirikiano wa Tanzania na Rwanda umezidi kuimarika, hususan katika sekta…
