UBIA WA UMMA NA BINAFSI NI CHANZO CHA UTAJIRI
Ubia wa Umma na Binafsi ni chanzo cha Utajiri. Mabadiliko ya kiuchumi duniani kote yanategemea mifumo thabiti inayounganisha nguvu ya serikali na ubunifu wa wafanyabiashara. Katika muktadha huu, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, ameweka wazi kuwa mfumo wa ubia kati ya sekta…
