SAMIA AZINDUA MIRADI MIKUBWA YA USAFIRI NCHINI
Samia azindua Miradi Mikubwa ya Usafiri nchini.Katika hatua ya kihistoria inayolenga kuubadilisha Mkoa wa Kigoma na Ukanda mzima wa Maziwa Makuu kuwa kitovu kikuu cha biashara na usafirishaji, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uzinduzi mkubwa wa miradi ya kimkakati mkoani Kigoma. Miongoni mwa matukio makubwa yaliyoteka hisia za Watanzania na wafanyabiashara wa Ukanda wa…
