URASIMISHAJI BIASHARA KUWAINUA MAAFISA MAGEREZA -pesatu.co.tz

URASIMISHAJI BIASHARA KUWAINUA MAAFISA MAGEREZA

Urasimishaji biashara kuwainua maafisa magereza. Katika ulimwengu wa sasa wa ushindani wa kibiashara, dhana ya urasimishaji wa biashara imekuwa nguzo muhimu sana kwa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa ujumla. Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) nchini Tanzania, imeendelea kuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa kila Mtanzania, bila kujali taaluma yake, anaelewa…

Soma Zaidi

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO SWEDEN STOCKHOLM

Tanzania yafungua milango Sweden Stockholm . Katika jitihada za kuendeleza diplomasia ya uchumi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuchanja mbuga barani Ulaya kwa kuonyesha fursa za uwekezaji Tanzania ambazo hazijaguswa. Hivi karibuni, Balozi wa Tanzania nchini Sweden,Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa kimkakati katika kikao kizito na wafanyabiashara pamoja na wawekezaji kutoka Chama cha Wafanyabiashara…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 47

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA UINGEREZA

Tanzania yafungua milango kwa wawekezaji wa Uingereza.Katika hali inayozidi kuimarisha diplomasia ya kiuchumi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa rai kwa jumuiya ya kimataifa akisisitiza kuwa fursa za uwekezaji Tanzania ni salama na zenye tija kuliko wakati wowote. Akizungumza jijini London nchini Uingereza, Prof. Mkumbo amebainisha kuwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks