BANDARI DAR KUANZA KUTUMIA KURASINI LOGISTICS PARK
BANDARI DAR KUANZA KUTUMIA KURASINI LOGISTICS PARK.Eneo la Kurasini Logistics Park, linaloandaliwa kuanza kufanya kazi kama usaidizi wa moja kwa moja wa Bandari ya Dar es Salaam (Port Extension), linatarajiwa kuanza kutumika rasmi mwezi Novemba mwaka huu wa 2026. Hatua hii madhubuti na ya kimkakati inalenga kupunguza msongamano mkubwa wa makontena pamoja na malori ya…
