MAPINDUZI MAPYA YA BIASHARA SOKO LA KARIAKOO
Mapinduzi mapya ya Biashara soko la Kariakoo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kushuhudia tukio la kihistoria wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, atakapowasili katikati ya jiji kuzindua rasmi Soko la Kariakoo. Tukio hili lililosubiriwa kwa hamu kubwa linatarajiwa kufanyika Februari 8, 2026, likiashiria kurejea kwa fahari ya biashara…
