Pesa Tu Social Media Post 2025 77

MAPINDUZI MAPYA YA BIASHARA SOKO LA KARIAKOO

Mapinduzi mapya ya Biashara soko la Kariakoo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kushuhudia tukio la kihistoria wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, atakapowasili katikati ya jiji kuzindua rasmi Soko la Kariakoo. Tukio hili lililosubiriwa kwa hamu kubwa linatarajiwa kufanyika Februari 8, 2026, likiashiria kurejea kwa fahari ya biashara…

Soma Zaidi
Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki

Unaweza usiamini lakini inawezekana, usiichukulie poa. Chupa za plastiki ni fursa ya biashara kama zilivyo biashara zingine. Biashara ya makopo ni biashara kama biashara zingine. Watu wengi wanaofanya kazi ya kuokota makopo huonekana kama wamechanganyikiwa kutokana na muonekano wa baadhi yao, wengi wakionekana wachafu. Usichokijua ni kwamba biashara hii ina uwezo wa kukupatia kipato cha…

Soma Zaidi
Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu pesatu.com

Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu

Uuzaji wa miwani kiholela umeshamiri katika maeneo mengi nchini husasani mijini. Miwani hizo nyingi zikiwa ni zile zinazotajwa kuwa ni miwani za urembo. Mbali na kumsababishia madhara mtumiaji anayetumia miwani pasipo kuipima na kupima macho yake, pia mtu yeyote anayejihusisha na biashara ya miwani anatakiwa azingatie sheria ya Optometria sura namba 23 ikiwemo kusajiliwa katika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 21 at 15.12.17

Waomba serikali kuwakopesha vitendea kazi

Vitendea kazi vimetajwa kama changamoto inayowakabili wajasiriamali wadogo nchini. Baadhi ya wajasiriamali waliohudhuria katika maonesho ya 47 ya Biashara ya Kimataifa jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kuangalia namna pia ya kutoa mikopo ya vitendea kazi ikiwemo mashine. Bahati Malangalila ambae ni mjasiriamali wa kutengeneza vinywaji na vyakula vya lishe ameitaja changamoto hiyo kama kikwazo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 12 13 at 12.07.50 PM

Machinga Kariakoo kusajiliwa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuwasajili wamachinga waliopo katika Soko Kuu la Biashara Kariakoo. Meneja wa Mkoa wa Kikodi wa Kariakoo Alex Katundu amesema tayari machinga 5273 wameshasajiliwa ili kuingizwa kwenye mfumo wa malipo ya kodi wa makadirio. Katundu amesema “usajili huu unafanyika kwa kila machinga aliyepo Kariakoo kwa sababu tulibaini baadhi ya wafanyabiashara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks