MAPINDUZI MAPYA YA HUDUMA ZA FORODHA

Mapinduzi mapya ya huduma za ForodhaKatika hatua inayotarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mnyororo wa usambazaji wa bidhaa nchini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imepiga hatua nyingine muhimu kwa kuzindua rasmi Dawati la Uwezeshaji Biashara Kariakoo. Hatua hii imekuja kama jibu la moja kwa moja kwa changamoto za muda mrefu ambazo zimekuwa zikiwakabili wafanyabiashara wa soko…

Soma Zaidi

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO SWEDEN STOCKHOLM

Tanzania yafungua milango Sweden Stockholm . Katika jitihada za kuendeleza diplomasia ya uchumi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuchanja mbuga barani Ulaya kwa kuonyesha fursa za uwekezaji Tanzania ambazo hazijaguswa. Hivi karibuni, Balozi wa Tanzania nchini Sweden,Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa kimkakati katika kikao kizito na wafanyabiashara pamoja na wawekezaji kutoka Chama cha Wafanyabiashara…

Soma Zaidi

MAPINDUZI MAPYA YA BIASHARA SOKO LA KARIAKOO

Mapinduzi mapya ya Biashara soko la Kariakoo. Jiji la Dar es Salaam linatarajia kushuhudia tukio la kihistoria wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, atakapowasili katikati ya jiji kuzindua rasmi Soko la Kariakoo. Tukio hili lililosubiriwa kwa hamu kubwa linatarajiwa kufanyika Februari 8, 2026, likiashiria kurejea kwa fahari ya biashara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks