BOT YAIMARISHA UNUNUZI WA DHAHABU
BoT yaimarisha ununuzi wa Dhahabu.Sekta ya madini nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ya kimkakati ambayo yanalenga si tu kuongeza mchango wa sekta hiyo kwenye Pato la Taifa (GDP), bali pia kuimarisha akiba ya fedha za kigeni ya nchi kupitia rasilimali zake za asili. Katika kuhakikisha azma hii inafanikiwa, Tume ya Madini nchini, kwa ushirikiano…
