AIRTEL YAZINDUA UPYA AIRTEL FURSA LAB
AIRTEL yazindua upya Airtel Fursa Lab.Wanafunzi, walimu na vijana nchini Tanzania wamepata fursa mpya ya kujifunza, kufanya majaribio ya kiteknolojia na kuendeleza ubunifu wa kidijitali baada ya Taasisi ya Airtel Africa Foundation kuzindua upya jengo la Airtel Fursa Lab lililopo katika Shule ya Sekondari Kijitonyama, jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huu unakuja mara baada ya…
