NMB YAFUNGUA MILANGO YA FURSA NA MAARIFA NANENANE
NMB yafungua milango ya fursa na maarifa nanenane.Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima na Wafugaji ya Nanenane 2026 yameingia katika historia mpya baada ya Benki ya NMB kuchukua hatua kubwa ya kubadili mabanda yake kuwa vituo vya kimkakati vya mafunzo, ushauri wa kibiashara, na uwezeshaji wa kiuchumi. Kote nchini, kuanzia Jijini Dodoma, Morogoro, Mwanza hadi Mbeya,…
