MSAJILI WA HAZINA AFUNGUA UKURASA NA JEUNE AFRIQUE
Msajili wa hazina afungua ukurasa na Jeune Afrique. Katika ulimwengu wa sasa wa diplomasia ya uchumi, habari sahihi na mahusiano ya kimataifa ndio injini inayochochea kasi ya maendeleo. serikali ya awamu ya sita kutafuta mpenyo wa kiuchumi duniani. Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amefanya mazungumzo ya kimkakati na Frederic Van de vyver, Mkuu wa kampuni…
