MSD NA MAPINDUZI YA UZALISHAJI WA DAWA NCHINI
MSD na Mapinduzi ya Uzalishaji wa Dawa nchini. Katika hatua inayotajwa kuwa ni mwanzo wa zama mpya kwenye sekta ya afya, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza mkakati madhubuti wa kuimarisha sekta ya viwanda vya ndani. Kupitia Bohari ya Dawa (MSD), serikali imedhamiria kuendelea kununua dawa na vifaa tiba vinavyozalishwa na wawekezaji wa…
