AIRTEL YAZINDUA MNARA WA 4G TANGA
Airtel yazindua mnara wa 4G Tanga. Ukuaji wa teknolojia nchini Tanzania umekuwa chachu kubwa ya maendeleo, hususan katika maeneo ambayo hapo awali yalikuwa yametengwa kijiografia. Katika hatua nyingine ya kihistoria, wananchi wa Kijiji cha Daluni Kisiwani na vijiji jirani vilivyopo Wilaya ya Mkinga, mkoani Tanga, wameingia katika ramani ya kidijitali. Hii inafuatia uzinduzi wa mnara…
