TANZANIA YAPONGEZWA KWA MCHANGO WA MADINI
Tanzania yapongezwa kwa mchango wa madini.Sekta ya Madini Tanzania imezidi kudhibitisha kuwa ni mhimili madhubuti wa uchumi wa taifa baada ya kupata sifa lukuki katika anga za kimataifa. Katika Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji wa Madini (Kenya Mining Investment Conference and Expo – MICE 2026) unaofanyika jijini Nairobi, Tanzania imetajwa kama kioo cha mafanikio ambacho…
