WAKULIMA WA PAMBA WAKUMBATIA MALIPO YA KIDIJITALI
Wakulima wa pamba wakumbatia malipo ya kidijitali. Wakulima wa zao la pamba katika Wilaya ya Igunga, Mkoa wa Tabora, wameamua kuacha rasmi tabia ya kubeba fedha taslimu mifukoni na badala yake wamejitokeza kwa wingi kufungua akaunti za benki na kusajili laini za simu. Hatua hii kubwa imekuja ikiwa ni sehemu ya maandalizi madhubuti ya kupokea…
