BRELA YAWANOA WAFANYABIASHARA VIJANA SABASABA
BRELA yawanoa wafanyabiashara vijana Sabasaba.Katika muendelezo wa Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), suala la kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo na wa kati limechukua sura mpya. Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), mnamo tarehe 02 Julai, 2026, imefanya ziara ya kimkakati yenye tija kubwa katika banda la Ofisi…
