CHEVRON YAINGIA KWENYE MBIO ZA UTAFITI WA MAFUTA -pesatu.co.tz

CHEVRON YAINGIA KWENYE MBIO ZA UTAFITI WA MAFUTA

Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kupata msukumo mpya wa kimataifa kufuatia kampuni kubwa ya nishati kutoka nchini Marekani, Chevron Corporation, kueleza utayari wake wa kuingiza mtaji mkubwa katika uwekezaji wa mafuta na gesi Tanzania. Hatua hii inakuja wakati ambapo Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kuimarisha diplomasia ya kiuchumi na kuboresha mazingira ya biashara…

Soma Zaidi
NDEJEMBI AFUMUA UOZO MRADI WA MALAGARASI MW 49.5-pesatu.co.tz

NDEJEMBI AFUMUA UOZO MRADI WA MALAGARASI MW 49.5

Ndejembi afumua uozo Mradi wa Malagarasi MW 49.5. Serikali kupitia Wizara ya Nishati, imechukua hatua madhubuti na za haraka kuhakikisha kuwa miradi ya kimkakati ya nishati inatekelezwa kwa ufanisi na thamani ya fedha za walipakodi inaonekana. Katika ziara ya hivi karibuni mkoani Kigoma, Waziri wa Nishati,Deogratius Ndejembi, ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wa…

Soma Zaidi
KAPINGA AFUNGUA MILANGO YA SOKO LA CHINA-pesatu.co.tz

KAPINGA AFUNGUA MILANGO YA SOKO LA CHINA

Kapinga afungua milango ya Soko la China. Katika hatua inayotarajiwa kuleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya biashara ya kimataifa nchini Tanzania, Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ametoa maagizo mazito yenye lengo la kuunganisha nguvu kazi ya ndani na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani. Waziri Kapinga ameagiza kuanzishwa kwa dawati maalum litakalokuwa na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks