BILIONI 13 ZA SAMIA ZAGEUZA JIMBO LA MTAMA
Bilioni 13 za Samia zageuza Jimbo la Mtama.Wilaya ya Mtama iliyopo Mkoa wa Lindi inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ya kimuundo na kiuchumi kufuatia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kimkakati inayofadhiliwa na Serikali ya Awamu ya Sita. Katika mwaka wa fedha wa 2025/26, Serikali imetenga na kutoa zaidi ya shilingi bilioni 13 kwa ajili ya kugharamia…
