ABSA YADHAMIRIA KUKUZA VIPAJI NCHINI
Absa yadhamiria kukuza vipaji nchini.Katika ulimwengu wa sasa wa ushindani wa kibiashara, uwekezaji mkubwa zaidi ambao taasisi yoyote ya kifedha inaweza kufanya si ule wa miundombinu ya majengo au teknolojia pekee, bali ni uwekezaji katika rasilimali watu. Benki ya Absa Tanzania imelithibitisha hili kwa mara nyingine tena baada ya kutangaza kuongeza nguvu na kudumisha dhamira…
