VODACOM YATWAA TUZO MBILI SABASABA 2026
Vodacom yatwaa Tuzo Mbili Sabasaba 2026.Kampuni ya mawasiliano inayoongoza nchini, Vodacom Tanzania, imetamatisha kwa kishindo ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (maarufu kama Sabasaba 2026). Katika kilele cha maonesho haya yaliyovutia maelfu ya wananchi na wafanyabiashara kutoka ndani na nje ya nchi, kampuni hiyo imeeleza kuridhishwa mno…
