GRIDI YA TAIFA KUIBADILI KIGOMA KIUCHUMI
Gridi ya Taifa Kuibadili Kigoma Kiuchumi . Mkoa wa Kigoma, maarufu kama “Mwisho wa Reli,” sasa unashuhudia mabadiliko makubwa ya kihistoria katika sekta ya nishati. Kwa miongo kadhaa, mkoa huu ulitegemea majenereta ya mafuta mazito (diesel) ambayo yalikuwa yakigharimu serikali mabilioni ya shilingi. Hata hivyo, kukamilika kwa hatua muhimu za kuunganisha umeme wa gridi Kigoma…
