USAJILI WA HAKI YA DHAMANA KUTOLEWA KIDIJITALI
Usajili wa haki ya dhamana kutolewa kidijitali.Katika hatua kubwa inayolenga kubadilisha na kurahisisha mazingira ya kufanya biashara nchini Tanzania, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umetangaza kuhamishia kikamilifu huduma zote za usajili wa dhamana za mali za makampuni katika mfumo wa kidijitali. Maboresho haya mapya yanamaanisha kuwa wafanyabiashara, taasisi za kifedha, mabenki, na…
