WAZIRI MAVUNDE AHIMIZA UTAFITI WA MADINI-pesatu.co.tz

WAZIRI MAVUNDE AHIMIZA UTAFITI WA MADINI

Waziri Mavunde ahimiza utafiti wa Madini kwa maendeleo ya Nchi. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuweka msisitizo mkubwa katika matumizi ya sayansi, teknolojia, na ubunifu kama nguzo kuu ya kuleta mapinduzi ya kiuchumi. Katika kuhakikisha rasilimali za nchi zinaleta tija inayokusudiwa, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde , ametoa wito mzito kwa wanazuoni,…

Soma Zaidi
BILA SOKO, FEDHA HAZIZUNGUKI-pesatu.co.tz

BILA SOKO, FEDHA HAZIZUNGUKI

Bila Soko,Fedha hazizunguki.Kila mfanyabiashara au mjasiriamali nchini Tanzania ana ndoto ya kuona biashara yake ikikuwa, ikitengeneza faida, na kudumu kwa miaka mingi. Hata hivyo, ukweli wa mambo ni kwamba siri ya mafanikio ya kila biashara hutegemea sana maeneo makuu matatu: usimamizi, uendeshaji, na soko lako. Ili biashara iweze kutimiza malengo yake kama mmiliki alivyokusudia, ni…

Soma Zaidi
WANAWAKE VIJIJINI KUNUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10-pesatu.co.tz

WANAWAKE VIJIJINI KUNUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10

Wanawake vijijini kunufaika na mikopo ya asilimia 10.Katika jitihada za kuimarisha usawa wa kiuchumi na kuwainua wananchi kutoka katika umaskini, Serikali Tanzania imetoa ufafanuzi wa kina kuhusu namna inavyotekeleza mikakati mbalimbali inayolenga kuhakikisha kuwa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri inawafikia walengwa waliokusudiwa. Kupitia hatua hizi, mkazo mkubwa umewekwa kwa makundi maalum, hususan wanawake wanaoishi…

Soma Zaidi
DKT. MWIGULU AKAZIA UKAMATAJI WA WEZI WA FEDHA ZA UMMA-pesatu.co.tz

DKT. MWIGULU AKAZIA UKAMATAJI WA WEZI WA FEDHA ZA UMMA

Dkt.Mwigulu akazia ukamataji wa wezi wa fedha za Umma.Waziri Mkuu Dkt Mwigulu Nchemba amechukua hatua madhubuti na kutoa agizo zito la kukamatwa kwa mtumishi mwingine wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida. Mtumishi huyo anatuhumiwa kuhusika katika mtandao wa siri unaojihusisha na kuwalinda pamoja na kuwatetea watumishi wa umma waliohusishwa na ubadhirifu wa zaidi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks