MIFUGO YA TANZANIA KUNG’ARA SOKO LA MISRI
Mifugo ya Tanzania Kung’ara soko la Misri.Katika hatua inayotazamiwa kuleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya ufugaji nchini, Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imetangaza rasmi kuwa sasa sekta ya mifugo imeanza kunufaika na mifumo rasmi ya kibiashara. Hatua hii imebainishwa hivi karibuni kufuatia ushiriki wa Tanzania katika Jukwaa la Utalii, Biashara na Uwekezaji…
