NJOMBE YAIBUKA KITOVU CHA MADINI ADIMU
Njombe yaibuka kitovu cha madini adimu. Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya na cha kihistoria cha uwekezaji wa sekta ya madini nchini Tanzania. Hatua hii inakuja kufuatia kugunduliwa kwa madini adimu ya kimkakati ya Rare Earth Elements (REE), ambayo yanatajwa kuwa na mchango mkubwa na mahitaji makubwa zaidi katika soko la teknolojia za kisasa…
