TANZANIA YASISITIZA ULINZI NA USALAMA MKUTANO WA AU
Tanzania yasisitiza ulinzi na Usalama Mkutano wa Au.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Prof. Palamagamba Kabudi, amesisitiza haja ya nchi za Afrika kuendelea kuitumia kikamilifu mifumo ya kikanda na kibara ya ulinzi na amani ili kuimarisha juhudi za kutatua migogoro na kudumisha utulivu Barani Afrika. Prof. Kabudi ameyasema hayo tarehe…
