SIRI YA KUKAMATWA DHAHABU YA BILIONI 1
SIRI YA KUKAMATWA DHAHABU YA BILIONI 1.Sekta ya madini nchini Tanzania inaendelea kuwa muhimili mkubwa wa uchumi wa taifa, huku madini ya dhahabu yakishika nafasi ya kwanza kwa kuingizia nchi mapato makubwa ya kigeni. Hata hivyo, mafanikio haya yanatishiwa na wimbi la utoroshaji wa rasilimali hizi nje ya nchi unaofanywa na mitandao ya watu wasio…
