NMB YAONGOZA KURA ZA SUPERBRANDS KUNDI LA BENKI
Sekta ya fedha nchini Tanzania na ukanda mzima wa Afrika Mashariki imeshuhudia hatua nyingine kubwa baada ya taasisi ya NMB kutangazwa rasmi kuwa kinara wa huduma za kibenki. Katika tathmini mpya iliyofanywa na Baraza la Superbrands, Benki ya NMB imetunukiwa cheti cha hadhi ya Superbrand Afrika Mashariki kwa kipindi cha miaka mitatu cha 2026–2028. Soma…
