BENKI YA ABSA YAZINDUA MIKOPO YA BIASHARA BILA DHAMANA
Benki ya Absa Yazindua mikopo ya biashara bila dhamana. Benki ya Absa Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya kifedha nchini kwa kuzindua rasmi suluhisho bunifu la mikopo ya muda mfupi inayolenga kuwawezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs). Huduma hii mpya inaleta mageuzi makubwa kwani inaruhusu wafanyabiashara kukuza biashara zao bila hitaji la kuwasilisha…
