NMB YAWEKEZA BILIONI 224 MGODI WA GEITA
NMB yawekeza bilioni 224 Mgodi wa Geita.Benki ya NMB imechukua hatua kubwa ya kihistoria na ya kimkakati kwa kuwekeza takribani dola za Marekani milioni 100 (sawa na Shilingi bilioni 224 za Kitanzania) katika mkopo wa pamoja (syndicated loan) wenye thamani ya jumla ya dola milioni 500. Mkopo huu umeratibiwa mahususi kwa ajili ya kuendeleza shughuli…
