HESLB NA PBZ WAZINDUA ENZI MPYA YA CASH WAQF
HESLB na PBZ wazindua enzi mpya ya Cash Waqf.Sekta ya elimu nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mapinduzi makubwa yanayolenga kutatua changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa rasilimali fedha kwa ajili ya wanafunzi wanaotaka kujiendeleza kimasomo. Katika hatua iliyoleta matumaini mapya, taasisi za kifedha zimetakiwa kuongeza kasi ya kushiriki katika miradi ya kijamii ili kuboresha maisha…
