KADI MPYA YA NMB YAFUNGUA FURSA ZA MITAJI
Kadi Mpya ya nmb yafungua fursa za Mitaji.Katika ulimwengu wa sasa wa biashara unaokua kwa kasi, changamoto kubwa inayowakabili wafanyabiashara wengi wadogo na wa kati (SMEs) nchini Tanzania ni upatikanaji wa mitaji ya haraka na ya kuaminika. Suluhisho la changamoto hii sasa limepatikana baada ya Benki ya NMB, kwa kushirikiana na kampuni kubwa ya teknolojia…
