WhatsApp Image 2022 06 21 at 4.37.08 PM

Benki ya NMB yapongezwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ametoa wito kwa Benki ya NMB kuendelea kubuni huduma rafiki kwa makundi mbalimbali katika Jamii ili kuweza kuwafikia wateja wengi zaidi. RC Makalla ametoa wito huo wakati wa warsha kwa viongozi wa Serikali wa mkoa huo iliyolenga kueleza fursa mbalimbali zinazopatikana katika benki hiyo ikiwemo mikopo…

Soma Zaidi
nbc

Wanawake 200 wapata mafunzo ya biashara

Takribani wanawake 200 wamepata mafunzo ya biashara yaliyolenga kuwajengea uwezo. Mafunzo hayo yametolewa  na benki ya NBC kwa wafanyabiashara katika kipindi cha maonesho ya Viwanda kwa Wanawake wajasiriamali kwa mwaka 2022. Neema Rose Singo amabae ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NBC amesema “tumetoa mafunzo kwa wanawake wafanyabiashara takribani 200, na tunaamini mafunzo haya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks