TANESCO YATATUA CHANGAMOTO YA UMEME NGARA
Tanesco yatatua changamoto ya umeme ngara. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechukua hatua kubwa na ya haraka katika kutekeleza maelekezo ya Waziri wa Nishati,Deogratius Ndejembi. Hatua hii inalenga kumaliza kabisa changamoto ya kukatika kwa umeme Ngara, mkoani Kagera, ambayo imekuwa ikileta usumbufu mkubwa kwa wananchi na wafanyabiashara wa wilaya hiyo ya mpakani. Utekelezaji huu wa…
