MAPINDUZI YA UMEME KUSINI MIL.704 ZAWEKEZWA -pesatu.co.tz

MAPINDUZI YA UMEME KUSINI MIL.704 ZAWEKEZWA

Mapinduzi ya Umeme Kusini Mil.704 zawekezwa. Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mapinduzi makubwa, safari hii msisitizo ukiwa katika kanda ya Kusini. Katika hatua ya hivi karibuni inayolenga kumaliza kero ya muda mrefu ya kukatika kwa nishati, Serikali Tanzania imewekeza kiasi cha Shilingi milioni 704 kwa ajili ya kufunga transfoma ya ziada katika kituo…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 38

MIAKA 10 BILA MABADILIKO YA BEI YA UMEME TANZANIA

Miaka 10 bila Mabadiliko ya bei ya umeme Tanzania.Katika kipindi ambacho uchumi wa dunia umekuwa ukikabiliwa na mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali,kwani gharama za umeme Tanzania zimebaki kuwa thabiti na nafuu kwa kipindi cha muongo mmoja sasa. Hii ni hatua ya kimkakati inayolenga kumlinda mwananchi wa hali ya chini na kukuza viwanda. Mnamo Januari…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 30

SERIKALI INAVYOJIPANGA UTEKELEZAJI WA UMEME VIJIJINI

Serikali inavyojipanga utekelezaji wa Umeme vijijini.Katika jitihada za kuhakikisha adhma ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kufikisha nishati ya umeme kwa kila mtanzania inatimia,Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekuja na mkakati mpya wa usimamizi. Mkurugenzi Mkuu wa REA,Hassan Saidy, ametoa mwongozo thabiti kwa wahandisi na wasimamizi wa miradi wa mikoa ili kuharakisha utekelezaji wa…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 18

TANESCO YAONGOZA MAPINDUZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Tanesco yaongoza mapinduzi ya nishati safi ya kupikia,Mabadiliko ya tabianchi na changamoto za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati zisizo salama zimekuwa ajenda kuu nchini Tanzania. Katika kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Kigamboni limechukua hatua madhubuti kueneza elimu…

Soma Zaidi
Ukuaji Sekta ya Madini waongeza mahitaji ya umeme Tanzania: Dkt. Biteko pesatu.co.tz

Ukuaji Sekta ya Madini waongeza mahitaji ya umeme Tanzania: Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema ongezeko la shughuli za uchimbaji na uongezaji thamani sekta ya madini limechochea mahitaji makubwa ya nishati ya umeme nchini, hali inayothibitisha kasi ya ukuaji wa sekta hiyo. Amebainisha hayo Septemba 28, 2025, wakati akihitimisha Maonesho ya 8 ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika mkoani Geita,…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks