SERIKALI KUJENGA VITUO VYA GESI YA CNG NCHINI
Serikali kujenga vituo vya Gesi ya CNG nchini. Katika jitihada za kuendeleza mapinduzi ya nishati safi na kupunguza mzigo wa gharama za mafuta kwa wananchi, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza mpango mkakati wa kupanua mtandao wa usambazaji wa Gesi Asilia Iliyobanwa (CNG). Hatua hii inalenga kuongeza upatikanaji wa nishati mbadala kwa vyombo…
