TANZANIA NA SENEGAL ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA NISHATI
Tanzania na Senegal zaimarisha ushirikiano wa Nishati.Katika hatua kubwa inayolenga kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi barani Afrika, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Senegal zimepiga hatua nyingine muhimu ya kimkakati. Viongozi wakuu wa sekta ya nishati kutoka nchi hizi mbili wamekutana na kufanya mazungumzo yenye tija ya kuweka misingi imara ya ushirikiano…
