MAHITAJI YA UMEME YAPAA TANZANIA -pesatu.co.tz

MAHITAJI YA UMEME YAPAA TANZANIA

Mahitaji ya umeme yapaa Tanzania.Sekta ya nishati nchini Tanzania inapitia kipindi cha mabadiliko makubwa na ya kihistoria. Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia mabadiliko ya kasi katika nyanja za kiuchumi na kijamii, hali ambayo imesababisha shinikizo kubwa kwenye miundombinu ya nishati. Ripoti za hivi karibuni zinaonesha kuwa ongezeko la idadi ya watu, ukuaji wa…

Soma Zaidi
MAPINDUZI YA UMEME KUSINI MIL.704 ZAWEKEZWA -pesatu.co.tz

MAPINDUZI YA UMEME KUSINI MIL.704 ZAWEKEZWA

Mapinduzi ya Umeme Kusini Mil.704 zawekezwa. Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mapinduzi makubwa, safari hii msisitizo ukiwa katika kanda ya Kusini. Katika hatua ya hivi karibuni inayolenga kumaliza kero ya muda mrefu ya kukatika kwa nishati, Serikali Tanzania imewekeza kiasi cha Shilingi milioni 704 kwa ajili ya kufunga transfoma ya ziada katika kituo…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 38

MIAKA 10 BILA MABADILIKO YA BEI YA UMEME TANZANIA

Miaka 10 bila Mabadiliko ya bei ya umeme Tanzania.Katika kipindi ambacho uchumi wa dunia umekuwa ukikabiliwa na mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali,kwani gharama za umeme Tanzania zimebaki kuwa thabiti na nafuu kwa kipindi cha muongo mmoja sasa. Hii ni hatua ya kimkakati inayolenga kumlinda mwananchi wa hali ya chini na kukuza viwanda. Mnamo Januari…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks