TRILIONI 2.5 KULETA MAPINDUZI YA UMEME 2026/27
Trilion 2.5 kuleta mapinduzi ya Umeme 2026/27. Sekta ya nishati nchini Tanzania imeingia katika hatua nyingine muhimu kufuatia uwasilishwaji wa makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka mpya wa fedha. Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasilisha bungeni ombi la kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 2.5 kwa ajili ya Bajeti ya Wizara ya Nishati 2026/27….
