MAPINDUZI YA ELIMU YA MAFUTA NA GESI TANZANIA
Mapinduzi ya elimu ya mafuta na gesi Tanzania.Katika ulimwengu wa sasa ambapo nishati ndiyo muhimili wa uchumi, Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha usalama wa nishati kupitia mifumo thabiti. Tarehe 30 Januari, 2026, imekuwa siku ya kihistoria kwa vijana 30 wanaochipukia katika fani ya uhandisi wa mafuta (Petroleum Engineering). Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja…
