ETDCO YAKAMILISHA MRADI WA UMEME MASASI–NEWALA
ETDCO YAKAMILISHA MRADI WA UMEME MASASI–NEWALA,Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mapinduzi makubwa ya miundombinu kufuatia hatua ya hivi karibuni ya Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) kukamilisha kikamilifu na kukabidhi mradi wa kusambaza umeme Masasi–Newala. Uzinduzi huo rasmi, uliofanyika Julai 21, 2026 mkoani Mtwara, uliyoongozwa…
