HATUA ZA MWISHO MRADI WA UMEME ZAANZA
Hatua za mwisho mradi wa Umeme zaanza.Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa utekelezaji wa hatua za mwisho za mradi wa umeme Chalinze hadi Dodoma wa msongo wa kilovoti 400 (kV 400) unatarajiwa kusababisha kukosekana kwa huduma ya umeme kwa muda katika baadhi ya mikoa nchini. Hatua hii inachukuliwa ili kupisha kazi za kiufundi zinazofanywa…
