BENKI YA DUNIA KUIMARISHA GRIDI YA TAIFA TANZANIA
Benki ya Dunia Kuimarisha Gridi ya Taifa Tanzania.Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ya kimkakati yenye lengo la kutatua changamoto za muda mrefu za upatikanaji wa nishati ya umeme. Katika kuakisi azma hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulikia Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Felchesmi Mramba, hivi karibuni amekutana na kufanya…
