BILIONI 25 ZACHOCHEA UCHUMI WA UMEME IFAKARA
Bilioni 25 zachochea uchumi wa Umeme Ifakara. Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imekamilisha ujenzi wa mradi mkubwa wa Kituo cha Umeme Ifakara uliogharimu takriban Shilingi Bilioni 25. Mradi huu si tu alama ya maendeleo ya miundombinu, bali ni mkombozi wa nishati kwa wakazi wa Wilaya za Kilombero, Ulanga na Malinyi ambao kwa muda…
