BODI ETDCO YAFURAHISHWA NA UTEKELEZAJI UMEME TABORA NA KIGOMA
Maendeleo ya nishati ni uti wa mgongo wa uchumi wa taifa lolote linalochipukia. Katika kuhakikisha azma hiyo inatimia, Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imefanya ziara ya kihistoria kukagua maendeleo ya miradi ya umeme Tabora hadi Kigoma. Ziara hii imekuja wakati ambapo serikali…
