TPDC YAONGOZA UCHIMBAJI GESI SONGO SONGO
TPDC yaongoza uchimbaji gesi Songo songo. Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa na hatua za kishujaa zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Moja ya maeneo muhimu ambayo yamekuwa nguzo ya uchumi wa nchi na uzalishaji wa umeme ni Kisiwa cha Songo Songo,…
