REA NA VIKOSI VYA JKT KUKUZA MATUMIZI YA NISHATI SAFI
REA na Vikosi vya Jkt kukuza matumizi ya Nishati Safi. Katika kipindi hiki ambacho ulimwengu unapambana na mabadiliko ya tabianchi, Tanzania imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha kuwa wananchi wake wanahama kutoka kwenye nishati chafu na kuelekea kwenye matumizi ya nishati mbadala. Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umekuwa na mchango mkubwa sana katika safari hii, na…
