TANZANIA NA IFAD WAUNGANA KUKUZA UCHUMI WA WANANCHI
Tanzania na Ifad waungana kukuza uchumi wa wananchi. Katika hatua kubwa inayolenga kuleta mapinduzi ya kijani nchini Tanzania, Serikali imezidi kuweka msisitizo katika kuimarisha sekta ya Kilimo Biashara na IFAD kama nguzo kuu ya kukuza pato la taifa na kumwinua mkulima mdogo. Leo, Mei 11, 2026, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt….
