SEKTA YA MADINI YAIWEKA TANZANIA RAMANI YA DUNIA
Sekta ya madini yaiweka Tanzania Ramani ya Dunia . Ndani ya kipindi kifupi cha siku 100 za kwanza za uongozi wa Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na mabadiliko makubwa ambayo yameitikisa tasnia ya uchimbaji barani Afrika. Sekta ya Madini Tanzania imezidi kujiimarisha kama kielelezo cha mageuzi ya kiuchumi yanayoongozwa…
