Screen Shot 2025 02 17 at 11.49.58 AM

Mgodi wa Buzwagi Kahama kufungwa, kusitisha uzalishaji wa madini ya dhahabu

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, amesisitiza kuwa ufungaji wa mgodi wa Buzwagi hautaathiri shughuli za kiuchumi katika Wilaya ya Kahama, kwani mipango madhubuti imewekwa kuhakikisha kuwa eneo hilo linaendelea kuwa na mchango mkubwa katika uchumi wa taifa kupitia miradi mipya ya uwekezaji na maendeleo. Amesema hayo Februari 16, 2025 Kahama Mkoani Shinyanga wakati…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 01 09 at 5.01.38 PM

Tanzania, Uingereza kushirikiana katika kuendeleza madini mkakati

Serikali ya Tanzania imeihakikishia Serikali ya Uingereza kuendeleza ushirikiano kwenye sekta ya madini hususani katika kujengea uwezo watu wake, kubadilishana uzoefu, uongezaji thamani madini na kuwekeza kwenye kufanya tafiti mbalimbali ili kukuza sekta hiyo na kupanua mnyororo wa thamani ili kuongeza ajira na kuchangia katika ukuaji wa pato la taifa. Hayo, yameelezwa Januari 07 na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 25 at 17.18.30

Dkt. Kiruswa awataka wananchi Rukwa kuomba leseni za uchimbaji mdogo wa madini

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wananchi wa mkoa wa Rukwa kuchangamkia fursa zilizopo katika sekta ya madini kwa kuomba Leseni za Uchimbaji Mdogo ili waweze kushiriki kikamilifu katika uchumi wa madini. Dkt. Kiruswa ametoa wito huo leo, Oktoba 24, 2024 wakati akizungumza na wananchi wa Vijiji vya Zimba na Misheni vilivyoko katika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 24 at 13.30.34

Tathmini yaonesha uwepo wa madini katika eneo la hekari 7,180 mkoani Rukwa

Serikali kupitia Wizara ya Madini itaendelea kutangaza fursa za uwekezaji katika Sekta ya Madini zilizopo mkoani Rukwa, kutokana na uwepo wa Madini ya Ulanga, Shaba, Emerald, Titanium, Dhahabu, Hellium, Makaa ya Mawe na Aquamarine ili kuvutia wawekezaji na kuongeza tija katika uchumi wa mkoa huo. Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesema hayo Oktoba…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks