FCC YAANZISHA KLABU ZA WALAJI SHULENI
FCC yaanzisha Klabu za Walaji Mkakati huu mpya unahusisha kuanzishwa kwa klabu maalumu za elimu ya ushindani, ulinzi wa mlaji, pamoja na udhibiti wa bidhaa feki na bandia katika ngazi zote za elimu nchini—kuanzia shule za msingi, sekondari, hadi taasisi za elimu ya juu. Lengo kuu la hatua hii ni kulea na kujenga kizazi kipya…
