SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI WA MADINI
Serikali yafuta leseni 40 za Utafiti wa Madini. Sekta ya Madini Tanzania imeingia katika sura mpya ya uwajibikaji baada ya Serikali kuchukua hatua kali dhidi ya wamiliki wa leseni ambao wameshindwa kufuata taratibu na masharti ya kisheria. Katika hatua ambayo imepokelewa kwa hisia tofauti lakini chanya na wadau wa maendeleo, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde,…
