AFREXIMBANK YAIPA TANZANIA NGUVU MPYA-pesatu.co.tz

AFREXIMBANK YAIPA TANZANIA NGUVU MPYA

Afreximbank yaipa Tanzania nguvu mpya.Safari ya mabadiliko ya kiuchumi nchini Tanzania imepata nguvu mpya baada ya Serikali kuweka wazi mikakati yake ya muda mrefu inayolenga kukuza uchumi na kufikia thamani ya dola za Kimarekani trilioni moja ifikapo mwaka 2050. Katika kufikia azma hii kubwa, Serikali imebainisha wazi kuwa taasisi za kifedha za kikanda zinachukua nafasi…

Soma Zaidi
MIRADI YA KIMKAKATI YAIMARISHA GRIDI YA TAIFA-pesatu.co.tz

MIRADI YA KIMKAKATI YAIMARISHA GRIDI YA TAIFA

Miradi ya Kimkakati yaimarisha Gridi ya Taifa.Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti na za makusudi katika kuhakikisha inaimarisha Gridi ya Taifa ya Umeme kupitia utekelezaji wa miradi mikubwa na ya kimkakati ya njia za kusafirisha nishati hiyo. Hatua hizi zinatarajiwa kwa kiasi kikubwa kuongeza uwezo, uthabiti, ufanisi, na usalama wa mfumo mzima wa usambazaji wa nishati…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks