WAZIRI KAPINGA ATEMBELEA BANDA LA NMB SABASABA
Waziri Kapinga atembelea banda la nmb Sabasaba.Maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF), maarufu kama Saba Saba, yameendelea kuwa jukwaa kuu la kuonesha ubunifu, teknolojia, na ukuaji wa kiuchumi nchini Tanzania. Katika maadhimisho ya awamu hii ya 50, viwanja hivyo vimefurika kampuni na taasisi mbalimbali za ndani na nje ya nchi, zote…
