SERIKALI YATANGAZA KUANZA KUKAGUA MIKATABA YA MADINI
Serikali yatangaza kuanza kukagua Mikataba ya Madini.Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imechukua hatua madhubuti na za kimkakati zenye lengo la kuleta uwazi, haki, na tija katika usimamizi wa rasilimali za madini nchini. Katika muendelezo wa jitihada hizo, Wizara ya Madini imetangaza rasmi maandalizi ya operesheni maalum ya ukaguzi wa mikataba ya msaada wa…
