TANESCO YAHAMASISHA MATUMIZI YA VYOMBO VYA UMEME
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekuwa mstari wa mbele kuchochea mabadiliko haya kwa kuelimisha umma kuhusu faida za kiuchumi na kimazingira zinazopatikana kupitia matumizi ya nishati safi. TANESCO yahamasisha matumizi ya vyombo vya Umeme.Sekta ya usafirishaji nchini Tanzania inashuhudia mapinduzi makubwa ya kiteknolojia yanayolenga kupunguza gharama za uendeshaji na kulinda mazingira. Wakati mijadala mingi mijini…
