STAMICO NA PLANET ONE ZASAINI MKATABA WA MADINI
Stamico na Planet One zasaini mkataba wa Madini.Sekta ya madini nchini Tanzania imepata msukumo mpya baada ya Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kuingia mkataba wa kihistoria na kampuni ya Planet One Natural Resources Holdings PTE LTD kutoka nchini Singapore. Mkataba huu unahusu uendelezaji wa leseni za utafiti na hatimaye uchimbaji wa madini ya kinywe…
