SHULE 3,296 ZANUFAIKA NA INTANETI AFRIKA-pesatu.co.tz

SHULE 3,296 ZANUFAIKA NA INTANETI AFRIKA

Shule 3,296 zanufaika na intaneti afrika.Taasisi ya Airtel Africa Foundation imechapisha ripoti yake ya kwanza ya mwaka, inayoonyesha hatua kubwa na utekelezaji wa miradi yenye mchango chanya kwa jamii katika nyanja mbalimbali. Ripoti hii inaangazia maeneo muhimu kama vile upatikanaji wa elimu bora, kuwajengea watu ujuzi wa kiteknolojia, pamoja na kutengeneza fursa mbalimbali za kiuchumi…

Soma Zaidi
WAZIRI MAVUNDE AHIMIZA UTAFITI WA MADINI-pesatu.co.tz

WAZIRI MAVUNDE AHIMIZA UTAFITI WA MADINI

Waziri Mavunde ahimiza utafiti wa Madini kwa maendeleo ya Nchi. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuweka msisitizo mkubwa katika matumizi ya sayansi, teknolojia, na ubunifu kama nguzo kuu ya kuleta mapinduzi ya kiuchumi. Katika kuhakikisha rasilimali za nchi zinaleta tija inayokusudiwa, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde , ametoa wito mzito kwa wanazuoni,…

Soma Zaidi
BILA SOKO, FEDHA HAZIZUNGUKI-pesatu.co.tz

BILA SOKO, FEDHA HAZIZUNGUKI

Bila Soko,Fedha hazizunguki.Kila mfanyabiashara au mjasiriamali nchini Tanzania ana ndoto ya kuona biashara yake ikikuwa, ikitengeneza faida, na kudumu kwa miaka mingi. Hata hivyo, ukweli wa mambo ni kwamba siri ya mafanikio ya kila biashara hutegemea sana maeneo makuu matatu: usimamizi, uendeshaji, na soko lako. Ili biashara iweze kutimiza malengo yake kama mmiliki alivyokusudia, ni…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks