AIRTEL YATOA GAWIO LA BIL.65.48 KWA SERIKALI
Airtel yatoa gawio la Bil.65.48 kwa Serikali.Katika muendelezo wa kuonyesha uwajibikaji wa kifedha na tija ya uwekezaji wa sekta binafsi nchini, kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imekabidhi rasmi gawio la Airtel Tanzania kwa Serikali lenye thamani ya Shilingi bilioni 65.48 kwa mwaka wa fedha wa 2025/26. Tukio hili la kihistoria limefanya jumla ya fedha…
