MABANDA YA NMB YAWAVUTIA WANANCHI NANENANE
Mabanda ya NMB yawavutia wananchi Nanenane.Kuanzia Kanda ya Kati jijini Dodoma, Kanda ya Mashariki mkoani Morogoro, hadi Kanda ya Ziwa jijini Mwanza, mabanda haya yamefurika maelfu ya wananchi, wakulima, wafugaji, wavuvi, pamoja na viongozi wa ngazi za juu wa Serikali. Mawaziri na mabalozi mbalimbali wamewasili kujionea wenyewe suluhisho za kisasa za kifedha zinazolenga kuwezesha sekta…
