WATUMISHI WA MADINI WATAKIWA KUONGEZA UWAJIBIKAJI
Watumishi wa madini watakiwa kuongeza uwajibikaji.Katika kusherehekea Siku ya Wafanyakazi Duniani, maarufu kama Mei Mosi, Tume ya Madini imetoa wito mzito kwa watumishi wake nchini kote kuongeza kasi ya utendaji kazi, weledi, na uwajibikaji. Wito huo umekuja wakati ambapo sekta ya madini nchini Tanzania inaendelea kuwa mhimili mkuu wa uchumi wa taifa, ikichangia kwa kiasi…
