DOLA MILIONI 28 KUBORESHA HUDUMA ZA M-PESA
Dola Milioni 28 kuboresha huduma za M-Pesa. Katika hatua ambayo imetikisa sekta ya teknolojia ya kifedha (Fintech) nchini Tanzania, Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc imetangaza kukamilika kwa uwekezaji mkubwa wa kimkakati. Safari hii si ya kawaida, ni uwekezaji wa dola za Marekani milioni 28 (takriban shilingi bilioni 72 za Kitanzania) unaolenga kuleta mapinduzi ya kudumu…
