RAIS MWINYI ATAKA USHIRIKIANO WA KIFEDHA
Rais Mwinyi ataka ushirikiano wa Kifedha.Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imefungua milango mipana zaidi kwa taasisi za kifedha za ndani, ikizitaka kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo visiwani humo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza kuwa bado kuna fursa nyingi sana kwa benki na taasisi za mitaji…
