KIWANDA CHA CHUMA DODOMA CHAINGIZA BIL 600
Kiwanda cha chuma Dodoma chaingiza Bil 600.Tanzania inapiga hatua nyingine kubwa na ya kihistoria katika sekta ya viwanda na uzalishaji wa ndani. Chini ya usimamizi thabiti na maono ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, sekta ya uwekezaji nchini imeendelea kushamiri kwa kasi ya ajabu. Hatua hii imefungua milango…
