AIRTEL YAZINDUA MNARA WA 4G MTWARA
Airtel yazindua mnara wa 4G Mtwara. Katika hatua kubwa ya kuimarisha uchumi wa kidigitali mkoani Mtwara, kampuni ya Airtel Tanzania imezindua rasmi mnara mpya wa mawasiliano wenye teknolojia ya 4G katika Kata ya Naguruwe, Wilaya ya Mtwara Vijijini. Uzinduzi huu ni sehemu ya mkakati wa kampuni hiyo kuhakikisha kuwa huduma za mtandao wa Airtel zinawafikia…
