TANZANIA NA CANADA KUSHIRIKIANA KWENYE UTAFITI WA MADINI
Tanzania na Canada kushirikiana utafiti wa madini.Katika hatua nyingine kubwa ya kukuza diplomasia ya uchumi na rasilimali, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imedhamiria kuongeza kasi ya utafiti wa madini Tanzania kupitia ushirikiano na nchi ya Canada. Hatua hii inakuja wakati ambapo dunia inatafuta madini mkakati (critical minerals), huku Tanzania ikiwa ni moja ya…
