UTT AMIS YAVUTIA SABASABA KWA FURSA ZA UWEKEZAJI
UTT AMIS yavutia Sabasaba kwa fursa za Uwekezaji.Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (maarufu kama Sabasaba) yameendelea kuwa jukwaa kuu na muhimu zaidi nchini Tanzania katika kuonesha ubunifu, bidhaa, na huduma mbalimbali zinazochochea ukuaji wa uchumi wa nchi. Katika msimu huu wa maonesho, taasisi mbalimbali za umma na binafsi zimejitokeza…
