MAREKANI YAONESHA NIA YA KUWEKEZA ZANZIBAR
Marekani yaonesha nia ya kuwekeza zanzibar. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inaendelea kupanua wigo wa ushirikiano wa kimataifa ili kuchochea ukuaji wa uchumi wa buluu na maendeleo ya viwanda. Katika hatua ya hivi karibuni inayolenga kuimarisha diplomasia ya kiuchumi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefanya mazungumzo muhimu…
