KITUO CHA KISASA CHA DHAHABU KUCHOCHEA AJIRA
Kituo cha Kisasa cha Dhahabu kuchochea ajira. Sekta ya madini nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ya kimkakati, huku Serikali ikielekeza nguvu zake katika kuwawezesha wachimbaji wadogo kupata tija zaidi kutokana na jasho lao. Wachimbaji wa mkoa wa Shinyanga ni kuwa, Serikali kupitia Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) imetangaza rasmi mpango wa kujenga kituo…
