BANDARI YA MTWARA YATANGAZA UTAYARI MRADI WA LNG
Bandari ya Mtwara yatangaza utayari mradi wa LNG. Ni dhahiri kuwa sekta ya nishati nchini Tanzania inazidi kushika kasi, hususan katika maandalizi ya miradi mikubwa ya kimkakati. Moja ya miradi inayokusudiwa kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi ni mradi wa usindikaji wa gesi asilia (LNG). Hivi karibuni, hatua muhimu imepigwa baada ya wadau wakuu kutembelea maeneo…
