TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA UINGEREZA
Tanzania yafungua milango kwa wawekezaji wa Uingereza.Katika hali inayozidi kuimarisha diplomasia ya kiuchumi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa rai kwa jumuiya ya kimataifa akisisitiza kuwa fursa za uwekezaji Tanzania ni salama na zenye tija kuliko wakati wowote. Akizungumza jijini London nchini Uingereza, Prof. Mkumbo amebainisha kuwa…
