Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wawekezaji nchini Japan.

Tanzania yaendelea kuishawishi Japan kuwekeza nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta mbalimbali kwani Serikali imeshaboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji. Amezitaja sekta hizo kuwa ni pamoja na kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati, miundombinu, ufugaji na TEHAMA. Waziri Mkuu ameyasema hayo Mei 28, 2025 alipokutana kwa nyakati tofauti na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 04 09 at 15.28.16

Mabalozi watakiwa kutangaza fursa za Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewasihi Mabalozi kuwaunganisha Watanzania wanaoishi katika nchi wanazowakilisha (Diaspora) ili waweze kuchangia maendeleo ya Taifa kupitia uwekezaji mbalimbali. Makamu wa Rais amesema hayo wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Sweden Balozi Mobhare Matinyi pamoja na Balozi wa Tanzania nchini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 04 08 at 16.13.29

Rais Mwinyi: Zanzibar ina sera bora kwa uwekezaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa ya maendeleo kipindi cha miaka minne kwa mageuzi katika sekta mbalimbali na kuimarika kwa mifumo  pamoja na kuanzisha sera bora kwa uwekezaji zinazolenga kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na kimataifa. Rais Dkt. Mwinyi amesema hayo katika…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks