Rais Dkt. Samia atoa maelekezo bei ya mahindi vijijini na mjini
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kununua mahindi ya wakulima kwa Sh. 600 kwa kilo kwa vijijini na Sh. 650 kwa mjini. Rais Samia amesema hayo Julai 16, 2024 wakati akizindua vihenge na maghala ya kisasa ya katika eneo la Kanondo,…
