Mzani wa kidigitali wazinduliwa
Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amezindua matumizi ya Mizani za Kidigitali iliyounganishwa na Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) itakayoimarisha utendaji na uendeshwaji wa Vyama vya Ushirika nchini. Silinde amesema kuwa vyama vyote vya ushirika wa mazao nchini vitumie mizani ya kidijitali iliyounganishwa na Mfumo wa Upimaji wa Mazao katika kutekeleza majukumu…
