SERIKALI YATANGAZA MIKAKATI KABAMBE ZAO LA PAMBA
Serikali yatangaza mikakati kabambe zao la Pamba. Sekta ya kilimo nchini Tanzania inaendelea kuchukua sura mpya, huku serikali ikiweka msisitizo mkubwa katika kuongeza thamani ya mazao ya biashara. Katika hatua ya hivi karibuni, Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amebainisha kuwa dhamira kuu ya Serikali ya Awamu ya Sita ni kulifanya zao la pamba Tanzania kuwa…
