MAPATO YA NDANI KIBAHA YACHOCHEA MAENDELEO
Mapato ya ndani Kibaha yachochea Maendeleo. Usimamizi thabiti wa rasilimali za umma na ubunifu katika ukusanyaji wa kodi na ushuru ngazi ya mamlaka za ndani umezidi kuwa nguzo kuu ya ustawi wa jamii nchini Tanzania. Katika miaka ya hivi karibuni, Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha, iliyopo mkoani Pwani, imekuwa mfano wa kuigwa kitaifa katika eneo…
