BENKI YA EXIM YALETA MAPINDUZI YA AFYA GEITA
Benki ya Exim yaleta Mapinduzi ya Afya Geita. Katika kile kinachoonekana kama hatua kubwa ya kijamii, Benki ya Exim Tanzania imedhihirisha kwa mara nyingine tena kuwa biashara si namba tu, bali ni watu. Kupitia mpango wake mashuhuri wa uwajibikaji kwa jamii (CSR) unaojulikana kama Exim Cares, benki hiyo imewekeza nguvu kubwa katika kuimarisha huduma za…
