SERIKALI YATOA ONYO KALI KWA WANAOFICHA MAFUTA
Serikali yatoa onyo kali kwa wanaoficha mafuta. Serikali imechukua hatua madhubuti kuhakikisha kuwa nishati ya mafuta inapatikana kwa urahisi nchi nzima. Katika ziara ya hivi karibuni iliyofanywa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (Mafuta na Gesi Asilia), Dk. James Mataragio, imebainika kuwa serikali haitafanya mzaha na mtu yeyote anayejaribu kuvuruga uchumi wa nchi kupitia…
