NDEJEMBI AFUMUA UOZO MRADI WA MALAGARASI MW 49.5
Ndejembi afumua uozo Mradi wa Malagarasi MW 49.5. Serikali kupitia Wizara ya Nishati, imechukua hatua madhubuti na za haraka kuhakikisha kuwa miradi ya kimkakati ya nishati inatekelezwa kwa ufanisi na thamani ya fedha za walipakodi inaonekana. Katika ziara ya hivi karibuni mkoani Kigoma, Waziri wa Nishati,Deogratius Ndejembi, ameeleza kutoridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wa…
