EWURA YATANGAZA ONGEZEKO KUBWA LA BEI YA MAFUTA
EWURA yatangaza ongezeko kubwa la bei ya mafuta. Katika kile kinachoonekana kuwa pigo kwa watumiaji wa nishati nchini, Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza rasmi bei mpya za mafuta Tanzania Aprili 2026. Bei hizi ambazo zimeanza kutumika rasmi kuanzia Jumatano, Aprili 1, 2026, zinaonyesha kupanda kwa bei ya…
