TANZANIA NA NORWAY KUHARAKISHA MIRADI YA NISHATI
Tanzania na Norway kuharakisha miradi ya nishati.Mabadiliko makubwa yanatarajiwa kujitokeza katika sekta ya nishati nchini kufuatia hatua mpya ya kidiplomasia iliyochukuliwa leo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nishati wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo ya kina na Balozi wa Norway nchini Tanzania,Tone Tinnes. Kikao hiki cha ngazi ya juu…
