KIWANDA CHA NGUZO ZA ZEGE TABORA CHAANZA KAZI
Kiwanda cha nguzo za Zege Tabora chaanza kazi . Sekta ya nishati nchini Tanzania imepiga hatua nyingine kubwa baada ya kukamilika na kuanza rasmi kwa uzalishaji katika Kiwanda cha Nguzo za Zege Tabora. Huu ni mradi wa kimkakati uliopo chini ya kampuni ya Tanzania Concrete Poles Manufacturing (TCPM), ambayo inamilikiwa kwa asilimia 100 na Serikali…
