SCADA YAANZISHA MFUMO WA KUDHIBITI UPOTEVU WA MAFUTA
Sekta ya nishati nchini Tanzania imekuwa ikipitia mabadiliko makubwa yenye lengo la kuhakikisha usalama wa nishati, uwazi, na ufanisi wa kiuchumi. Moja ya mihimili mikuu ya mafanikio haya ni mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja (Bulk Procurement System – BPS), ambao sasa umeanza kutumia teknolojia ya hali ya juu ya Supervisory Control and Data…
