TANZANIA YAINGIA RASMI SOKO LA MAGARI YA UMEME
Tanzania yaingia rasmi soko la magari ya umeme. Sekta ya usafiri nchini Tanzania imeingia katika hatua mpya ya kihistoria baada ya kuanza rasmi kwa matumizi ya teknolojia ya kijani kibichi. Katika hafla iliyofana jijini Dar es Salaam, Serikali kwa kushirikiana na wadau wa nishati imebainisha kuwa kuingia kwa magari ya umeme Tanzania si tu ni…
