FCC YAIMARISHA USHINDANI KUPITIA UBUNIFU
FCC yaimarisha ushindani kupitia ubunifu. Katika kuelekea mabadiliko makubwa ya kiuchumi nchini Tanzania, taasisi zinazohusika na udhibiti wa ushindani na kumlinda mlaji zina wajibu mkubwa wa kuhakikisha soko linabaki kuwa na usawa. Tume ya Ushindani (FCC) imekuwa mstari wa mbele katika kutekeleza azma hii. Ili kufikia malengo hayo, ufanisi wa FCC Tanzania unategemea kwa kiasi…
