MKULAZI YAIPELEKA TANZANIA MPYA UZALISHAJI WA SUKARI
Mkulazi yaipeleka Tanzania Mpya uzalishaji wa Sukari . Sekta ya viwanda nchini Tanzania imeingia katika ukurasa mpya wa kihistoria baada ya Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi, kilichopo mkoani Morogoro, kuanza rasmi mchakato wa kuzalisha sukari nyeupe ya viwandani. Hatua hii si tu ushindi kwa mkoa wa Morogoro, bali ni ukombozi wa kiuchumi kwa Taifa zima…
