MAPATO YA SERIKALI KUPAA KUPITIA MIKAKATI MAHSUSI -pesatu.co.tz

MAPATO YA SERIKALI KUPAA KUPITIA MIKAKATI MAHSUSI

Mapato ya serikali kupaa kupitia mikakati Mahsusi . Katika hatua inayolenga kuleta mapinduzi makubwa ya kiuchumi, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ameongoza kikao kazi cha kimkakati jijini Dodoma. Kikao hicho kilichowahusisha wataalam waandamizi na menejimenti ya Wizara kimejikita katika kutafuta mbinu mbadala na madhubuti za kuongeza mapato ya Serikali kupitia rasilimali zilizopo nchini. Soma zaidi…

Soma Zaidi
BILIONI 12.9 ZAOKOLEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA SGR -pesatu.co.tz

BILIONI 12.9 ZAOKOLEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA SGR

Bilioni 12.9 zaokolewa katika utekelezaji wa SGR. Katika kuelekea kilele cha mafanikio ya usafirishaji nchini, Mradi wa SGR Tanzania umezidi kuonyesha matumaini makubwa baada ya Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuanza kupunguza utegemezi wa ruzuku kutoka serikalini. Hatua hii ni kielelezo tosha kuwa uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita umeanza kuzaa matunda…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks